HUU HAPA WIMBO WA MWANA FA ULIOTIMIZA MIAKA 15 TANGU KUANZA KUCHEZWA REDIONI

KUTAZAMA MAAJABU YA LEO BONY3ZA HAPA CHINI===>

Hit maker wa ‘Dume Suruali’, Mwana FA afunguka juu ya ngoma yake iliyotimiza miaka 15 tangu kuanza kuchezwa katika redio mbalimbali. Ni wazi kabisa Dume suruali ni wimbo wake unaofanya vyema ndani ya nchi na nje pia.
Mwana Fa ni moja kati ya marapa bora walioko chini ya kivuli cha hip hop, ambaye tangu aingie katika ramani ya muziki wa kizazi kipya hajawahi kupoteza ubora wake.
Mwana Fa amekuwa msanii tofauti zaidi na wengine katika upande wa kutunza rekodi za muziki wake. Ni wazi changamoto moja wapo ya wasanii wa kizazi kipya ni kutokujua kutunza rekodi ya mambo yote katika muziki wao.
Kupitia akaunti yake ya ‘Instagram’ Mwana Fa ameweka wazi rekodi zake katika maisha yake ya muziki, ambapo ameeleza
Mwana Fa
“2/2/2017 Ni miaka 15 ‘cash’ toka mara ya kwanza wimbo wangu umepigwa redioni..Ingekuwa Vipi feat Jay Mo produced by Bon Luv nashukuru! Lakini pia hakuacha kuweka wazi wake ambao anaupenda zaidi ambao ni ‘Mfalme’ akiwa amemshirikisha G Nako.
TAZAMA PICHA na VIDEO YA WEMA NA DIMPOZ WAKIWA WATUPy BONY3ZA HAPA CHIN==>>>

During its two year run, the project will award approximately 100 major reporting grants and provide mentoring to support the best ideas for stories on development issues. Journalists who produce the best stories published or broadcasted in media that reach African audiences, will win a major international reporting trip. During its two year run, the project will award approximately 100 major reporting grants and provide mentoring to support the best ideas for stories on development issues. Journalists TAZAMA PICHA na VIDEO YA WEMA NA DIMPOZ WAKIWA WATUPy BONY3ZA HAPA CHIN==>>>