RAPA COUNTRY BOY AJA NA BIASHARA HII IFAHAMU HAPA

KUTAZAMA MAAJABU YA LEO BONY3ZA HAPA CHINI===>

Katika ulimwengu wa sasa ambao ajira zimekuwa ngumu na shida kupatikana, ujasiriamali na biashara vimekuwa ndio kimbilio la wengi. Watu wengi wanaingia kwenye biashara kama njia kuu ya kujipatia kipato.
Hitmaker wa ngoma ya “Hakuna Matata” Country Boy ameamua kutazama upande wa pili wa biashara tofauti na muziki ikiwa ni katika suala zima la kujitafutia kipato
16229408_313969388998823_4438854391247667200_n
Country Boy
Ikiwa muziki ni biashara ambayo inakwenda na wakati, mkali huyo ameamua kuitazama kwa jicho hilo ili kujiwekea misingi mizuri katika kujipatia kipato na kuendesha maisha yake ya kila siku.
Yawezekana ndoto za baadhi ya wasanii wengi ni kumiliki migahawa ya Chakula lakini huenda kinachosumbua ikawa ni mitaji au namna ya kuanza biashara hiyo rasmi.
Country Boy ameingia kwenye list ya Wasanii wa Bongo walioamua kuwekeza muda wao katika kutoa huduma ya Chakula na huduma hiyo ameipa jina la Country fast food delivery ambayo kazi yake ni kusambaza chakula kwa yoyote anaehitaji.
Kupitia ukurasa wake wa Instagram Country Boy alipost ujumbe huu..
Country Boy

Ujumbe huo ulisomeka hivi.. “Inshaallah kesho Tunaanza Country Fast Food Delivery Msosi Heavy Kwaajili Yako Chenye Upishi Mzuri Na Smart Mapishi Ya Kinyumbani Kabisaa”.
TAZAMA PICHA na VIDEO YA WEMA NA DIMPOZ WAKIWA WATUPy BONY3ZA HAPA CHIN==>>>

During its two year run, the project will award approximately 100 major reporting grants and provide mentoring to support the best ideas for stories on development issues. Journalists who produce the best stories published or broadcasted in media that reach African audiences, will win a major international reporting trip. During its two year run, the project will award approximately 100 major reporting grants and provide mentoring to support the best ideas for stories on development issues. Journalists TAZAMA PICHA na VIDEO YA WEMA NA DIMPOZ WAKIWA WATUPy BONY3ZA HAPA CHIN==>>>