Tundaman Kayaandika Haya Baada ya ‘Tunda’ Kutajwa Kwenye List ya Makonda
KUTAZAMA MAAJABU YA LEO BONY3ZA HAPA CHINI===>
Tunda Man ni msanii wa bongofleva ambaye makazi yake ni Dar es salaam ambapo February 3 2017 Mkuu wa mkoa Dar es salaam Paul Makonda alizungumza kwenye makao ya Polisi kituo cha kati na kusema miongoni mwa watu atakaowahitaji wakamuone Jumatatu kwa ishu ya dawa za kulevya ni pamoja na Tunda.
Kwa sababu mkuu wa mkoa hakutumia majina halisi ya kuzaliwa, watu mbalimbali walianza kumpigia simu msanii Tunda Man baada ya kuambiwa jina lililotajwa na Makonda ni Tunda.
Baada ya simu za kutosha Tunda Man aliamua kuandika Instagram kwamba sio yeye aliyetajwa bali aliyetajwa ndio huyo kwenye picha, akaambatanisha na picha ya Mrembo Tunda ambaye ameonekana kama video queen kwenye video za bongofleva.
Tundaman aliandika
TAZAMA PICHA na VIDEO YA WEMA NA DIMPOZ WAKIWA WATUPy BONY3ZA HAPA CHIN==>>>
During its two year run, the project will award approximately 100 major reporting grants and provide mentoring to support the best ideas for stories on development issues. Journalists who produce the best stories published or broadcasted in media that reach African audiences, will win a major international reporting trip. During its two year run, the project will award approximately 100 major reporting grants and provide mentoring to support the best ideas for stories on development issues. Journalists TAZAMA PICHA na VIDEO YA WEMA NA DIMPOZ WAKIWA WATUPy BONY3ZA HAPA CHIN==>>>
Tunda Man ni msanii wa bongofleva ambaye makazi yake ni Dar es salaam ambapo February 3 2017 Mkuu wa mkoa Dar es salaam Paul Makonda alizungumza kwenye makao ya Polisi kituo cha kati na kusema miongoni mwa watu atakaowahitaji wakamuone Jumatatu kwa ishu ya dawa za kulevya ni pamoja na Tunda.
Kwa sababu mkuu wa mkoa hakutumia majina halisi ya kuzaliwa, watu mbalimbali walianza kumpigia simu msanii Tunda Man baada ya kuambiwa jina lililotajwa na Makonda ni Tunda.
Baada ya simu za kutosha Tunda Man aliamua kuandika Instagram kwamba sio yeye aliyetajwa bali aliyetajwa ndio huyo kwenye picha, akaambatanisha na picha ya Mrembo Tunda ambaye ameonekana kama video queen kwenye video za bongofleva.
Tundaman aliandika
‘Jamani Tunda aliyetajwa na Muheshimiwa @PaulMakonda ni huyu na sio mie maana simu zimekua nyingi, @Sudibrown na wewe hujui au umeamua kunipigia tu…
During its two year run, the project will award approximately 100 major reporting grants and provide mentoring to support the best ideas for stories on development issues. Journalists who produce the best stories published or broadcasted in media that reach African audiences, will win a major international reporting trip. During its two year run, the project will award approximately 100 major reporting grants and provide mentoring to support the best ideas for stories on development issues. Journalists TAZAMA PICHA na VIDEO YA WEMA NA DIMPOZ WAKIWA WATUPy BONY3ZA HAPA CHIN==>>>
