Lulu Michael Afunguka Bei yake Kama Ukitaka Kufanya Nae Movie.

KUTAZAMA MAAJABU YA LEO BONY3ZA HAPA CHINI===>


Staa wa filamu Diana Elizabeth Michael ‘Lulu’ amesema kama unamtaka kumshirikisha katika filamu yako, andaa milioni 15 kwani anaogopa kuendelea kutumika bila faida.

Akizungumza katika kipindi cha Take One cha Clouds TV Jumapili hii, Lulu alisema tayari alishatengeneza jina kwa miaka mingi na sasa anahitaji pesa.


“Kufanya filamu kwa milioni 15 sio hela nyingi, watu wanaongea tu kwa sababu hawajui nini kipo ndani yake. Mimi nikipewa milioni 15, mavazi pamoja na kila kitu najitegemea.” Alisema Lulu

Aliongeza, “Kwa hii milioni 15 ni kweli kuna faida, faida moja ni kwamba naepuka kutumika bila faida, kwamba mtu unakuwa na jina sawa, umefanya movie hii, umefanya movie hii nini unacho?. Mwisho wa siku tunajikuta tunaanza kufanya vitu vingine ili kumaintain ile status yako kwa sababu umeshatengeneza jina na unahitaji kulimaintain.” alimalizia Lulu.






TAZAMA PICHA na VIDEO YA WEMA NA DIMPOZ WAKIWA WATUPy BONY3ZA HAPA CHIN==>>>

During its two year run, the project will award approximately 100 major reporting grants and provide mentoring to support the best ideas for stories on development issues. Journalists who produce the best stories published or broadcasted in media that reach African audiences, will win a major international reporting trip. During its two year run, the project will award approximately 100 major reporting grants and provide mentoring to support the best ideas for stories on development issues. Journalists TAZAMA PICHA na VIDEO YA WEMA NA DIMPOZ WAKIWA WATUPy BONY3ZA HAPA CHIN==>>>